Weka maslahi ya taifa mbele na si maslahi binasfi mkuu...Uzalendo kwanza....Maisha ni kujipanga mie nawajua watu wanachukua take home kama 1.2m lakini hana hata kiwanja wala kausafiri ka kutembelea...maisha kombolele butua uwaokoe wenzako
Weka maslahi ya taifa mbele na si maslahi binasfi mkuu...Uzalendo kwanza....Maisha ni kujipanga mie nawajua watu wanachukua take home kama 1.2m lakini hana hata kiwanja wala kausafiri ka kutembelea...maisha kombolele butua uwaokoe wenzako
basic ni 320000 take home 180000 upo hapo teacher,hata hivo walimu ni wito.unapoamua kuwa mwalim ukiwaza mshahara lazima upate ukicha, maana kazi ilivyo ngumu mshahara majanga
Tusidanganyane kwakuwa wengi humu sio waalimu mim ni mwalimu mishahara iko hivi;
Degreee anaanzia 589000
Diploma anaanzia 377000
certificate anaanzia 295000
Hizo ni bila makato makato mpaka take home zinapungua sana tu
Tusidanganyane kwakuwa wengi humu sio waalimu mim ni mwalimu mishahara iko hivi;
Degreee anaanzia 589000
Diploma anaanzia 377000
certificate anaanzia 295000
Hizo ni bila makato makato mpaka take home zinapungua sana tu