Mshahara mpya wa walimu, serikalini:


MKUU UMENEA CHAMVIGA nna my best frend tulimaliza nae yeye akapangwa chunya,ananambia baada ya mishe zake anachukua bodaboda yake na kutega kijiweni
 
Last edited by a moderator:
Kumbe mnaosifia ualimu ni wanawake! Nyie mna mtaji wenu mliokalia.
 
Walimu hawana posho ila sekta nyingine na ofisi za wizara wana posho. Kama huamini waulize?! Mara nyingi anayefanya biashara si mwl bora kwan muda mwingi anapaswa kuandaa somo!
 
Walimu hawana posho ila sekta nyingine na ofisi za wizara wana posho. Kama huamini waulize?! Mara nyingi anayefanya biashara si mwl bora kwan muda mwingi anapaswa kuandaa somo!

Kazi yoyote ni kujipanga mkuu, assume mwalimu anafundisha hisabati au physics au chemistry ambayo yote ni facts na mwalimu huyo huyo amedumu kwenye kazi kama 6 years au ameshafundisha intake kibao, unataka kuniambia kwamba kila siku atakuwa anafanya kazi ya kuandaa somo? au kuandaa somo ni issue kwake?unless kama amelazimishwa kwenda kusoma ualimu
 
Mkuu kwani wanafunzi ni walewale uelewa wao ni ulwule mazingira je nayo ni yaleyale hapana ualimu ni mchakato wa kila siku na mwalimu anatakiwa ajiandae daily hapo unaleta uzoefu uzoefu ndo kuharibu kazi hakuna uzoefu ktk ualimu lazima mwalimu ajifunze kila siku ndo mana mwalimu ni mwanafunzi. Ndo mana tunataka alipwe uoasavyo ili akili yake itulie kuwafunza watoto. Sasa walimu ni wafanya biashara hivyo akili yote ktk pesa ndo maana unaona haa matatizo
 

Point ulizosema ila na wewe hujaniewa kwa baadhi ya sehemu niliposema amedumu kwenye game muda mrefu nilimaanisha hata uwezo wake wa kuji-adjust based on situation unakuwa mkubwa kwa kuwa issue ya uzoefu bado ina matter kwa upande mmoja lakini pia kwa upande mwingine na mwalimu mwenyewe awe na upendo na kazi anayoifanya na hata uandaaji wake wa somo ni tofauti na mtu alieanza leo. Wanafunzi wanaofeli sasa ni mchakato mrefu sana mkuu
 
Nimeckia mishahara itapanda c kama elf stini hv ila watu wa afya ndio wameongezewa sana,na hawajatangza sababu wamefanya kinyume na makubaliano ya walimu so wameona kila mtu atajiónea mwenyewe.
 

KAMA UTACHUNGUZA F1 =AMEONGEZWA 120,000 chini ya F ie E1 kurudi nyuma ongezeko ni chini 60,000/=

inamaana gani, wale wa F kidogoooooo afadhali, na hata mkikata tamaa wale F watawasaliti tu..

wengi wa A-E wamesoma miaka si mingi sana Hata elimu yenu si nzuuuuuuuri, njue kwamba hata ikitokea neema kwa walimu mumeshagawanywa, wa A-E(MTAJUTA NA KUACHA KAZI. kwa sababu kazini mtabanwa na kahela kadogo, lazima usepe mwalimu kanjanja ) na F-K(WATAAGANA NA MAISHA MAGUMU)

source Economics za mgimwa na kikwete
 
kwani mkuu wewe ni pesa kiasi gani inakutosha kimaisha?? manake mtu kama mimi laki 5 inanitosha kuish kwa anasa kabis ana kila wk end nahudhuria vijiwe vya bia na home kids wanakula bata kila uchwao

Ndugu yangu iliuweze kuhudumia na extended familiy ilio saidia kufika hapo ulipo, unahitaji sio chini ya pato la shilingi milion 2 kwa mwezi.
 

kuna ukweli katika hoja yako, lakini kipato kikiongezeka kunakua na unafuu wa maisha. kwa mfano watoto waliofeli sababu kubwa ambayo hawa isemi ni kua walimu wamepoteza moral ya kazi.
 
Jamani naomba mnieleweshe huu mshahara mpya wa 945600 na 1034990 ni kwa ngaz ipi na ni kwa mtu aliyetumikia ajira yake kwa muda gani?
 
Jamani naomba mnieleweshe huu mshahara mpya wa 945600 na 1034990 ni kwa ngaz ipi na ni kwa mtu aliyetumikia ajira yake kwa muda gani?
 
B1: 304,000/=
C1: 432,500/=
D1: 589,000/=
E1: 769,000/=
Walimu ni wito. Unachezea srkali!

Viwango hivyo ni take home au hapo makato ya kodi . mashirika ya pension na mashirika ya afya?
 
Michezo ya kuigiza kuelekea uchaguzi mkuu, Nyumba za walimu, posho za mazingira magumu, usafiri wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…