B1: 304,000/=
C1: 432,500/=
D1: 589,000/=
E1: 769,000/=
Walimu ni wito. Unachezea srkali!
Kwa E1 mwaka wa fedha 2012/13 ilikuwa Tsh 720,000/= hvyo utaona ni kiasi gani kimeongezwa.
Hao EI ndo walimu gani, wenye Masters Au PHD?
1st degree aliyetumikia kwa miaka 3.
B1 ni 344000 sio 304000B1: 304,000/=
C1: 432,500/=
D1: 589,000/=
E1: 769,000/=
Walimu ni wito. Unachezea srkali!
vp kuna ukweri kuhusu walimu kupandishwa madaraja automatically? Msaada mwenye kujuaB1: 304,000/=
C1: 432,500/=
D1: 589,000/=
E1: 769,000/=
Walimu ni wito. Unachezea srkali!
Walimu wa certificate wanaanza na mshahara ngazi ya tgts B1, diploma C1, degree D1.
Degree anaanza D1
vp kuna ukweri kuhusu walimu kupandishwa madaraja automatically? Msaada mwenye kujua
F1 ni sh ngp?