Mshahara kama huu haujawahi kutokea

Mshahara kama huu haujawahi kutokea

bereng

Senior Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
114
Reaction score
21
Habari wana JF,
Ukiangalia idadi ya watu waliofanikiwa ni kubwa kuliko wale ambao hawajafanikiwa. Unafikiri sababu ni nini? Kuna mtaalamu mmoja alikuwa anaelezea neno POOR kama Pass Over Opportunity Repeatedly. Inawezekana kwa kiasi kikubwa sana watu tunalalamika umaskini lakini kumbe kuna fursa tunazokutana nazo aidha tunazembea au kukata tamaa au pengine kukatishwa tamaa.

Lakini nakwambia leo hii kuna watu wanatengeneza pesa nyingi sana kupitia fursa ya biashara ya mtandao. Mtu yeyote yule mimi naamini anaweza kufanya vizuri sana katika biashara hii. hasa sisi watanzania kwani tunajua kujieleza au kuuza habari. Hapa kuna watu tanzania hii wanatengeneza zaidi ya milioni 30 kwa mwezi. biashara ambayo mtu anaweza kuifanya kwa urahisi endapo atapata angalau masaa 10 tu kwa wiki. au masaa 2 kwa siku yanatosha sana.

Kama kuna anayehitaji kujifunza kuhusu biashara ya mtandoa {network marketing} anaweza kunitumia email then ntamweleza kwa kina na jinsi gani ya kuweza kutengeneza kipato kikubwa kisicho na kikomo endapo atajibidisha. ni fursa ya kuufanya umaskini historia.

Inaweza kuwa vizuri zaidi endapo utanitumia namba ili nikupigie tupange jinsi tunavyoweza kushirikishana katika mchakato huu. email ni samidaenterprises@yahoo.com.
 
Gnld and forever living nini au .......
 
Kwa hiyo unataka kuwafundisha watu wizi kupitia Mtandao eee ? Hicho kitu hakipo kabisa maana we mwenyewe unatafuta angalau ela ya kula kwa kiwatapeli watu watoe ela ya training nipo upate kula.
 
L'em gv a try na ole wako iwe forevr livn' ama Gnld,dnt evn bothr txtn'.0758144803
 
Habari wana JF,
Ukiangalia idadi ya watu waliofanikiwa ni kubwa kuliko wale ambao hawajafanikiwa. Unafikiri sababu ni nini? Kuna mtaalamu mmoja alikuwa anaelezea neno POOR kama Pass Over Opportunity Repeatedly. Inawezekana kwa kiasi kikubwa sana watu tunalalamika umaskini lakini kumbe kuna fursa tunazokutana nazo aidha tunazembea au kukata tamaa au pengine kukatishwa tamaa.

Lakini nakwambia leo hii kuna watu wanatengeneza pesa nyingi sana kupitia fursa ya biashara ya mtandao. Mtu yeyote yule mimi naamini anaweza kufanya vizuri sana katika biashara hii. hasa sisi watanzania kwani tunajua kujieleza au kuuza habari. Hapa kuna watu tanzania hii wanatengeneza zaidi ya milioni 30 kwa mwezi. biashara ambayo mtu anaweza kuifanya kwa urahisi endapo atapata angalau masaa 10 tu kwa wiki. au masaa 2 kwa siku yanatosha sana.

Kama kuna anayehitaji kujifunza kuhusu biashara ya mtandoa {network marketing} anaweza kunitumia email then ntamweleza kwa kina na jinsi gani ya kuweza kutengeneza kipato kikubwa kisicho na kikomo endapo atajibidisha. ni fursa ya kuufanya umaskini historia.

Inaweza kuwa vizuri zaidi endapo utanitumia namba ili nikupigie tupange jinsi tunavyoweza kushirikishana katika mchakato huu. email ni samidaenterprises@yahoo.com.

kichwa cha habari na habari yenyewe havisadifiani...kwanza ungetuambia kama wewe umeweza kutengeneza hizo mil 30 kwa mwezi...umekaa kitapeli au kibiashara zaidi wewe
 
Oga, dis is impocanto, its imposible and it can't happen. U oga wana do 419 todeo. Tofyakwa. Anybody go give dis man his muni should no complain here at JF. Even cobo, it is his own wahala de. Go do ada jobs man.
 
Habari wana JF,
Ukiangalia idadi ya watu waliofanikiwa ni kubwa kuliko wale ambao hawajafanikiwa. Unafikiri sababu ni nini? Kuna mtaalamu mmoja alikuwa anaelezea neno POOR kama Pass Over Opportunity Repeatedly. Inawezekana kwa kiasi kikubwa sana watu tunalalamika umaskini lakini kumbe kuna fursa tunazokutana nazo aidha tunazembea au kukata tamaa au pengine kukatishwa tamaa.

Lakini nakwambia leo hii kuna watu wanatengeneza pesa nyingi sana kupitia fursa ya biashara ya mtandao. Mtu yeyote yule mimi naamini anaweza kufanya vizuri sana katika biashara hii. hasa sisi watanzania kwani tunajua kujieleza au kuuza habari. Hapa kuna watu tanzania hii wanatengeneza zaidi ya milioni 30 kwa mwezi. biashara ambayo mtu anaweza kuifanya kwa urahisi endapo atapata angalau masaa 10 tu kwa wiki. au masaa 2 kwa siku yanatosha sana.

Kama kuna anayehitaji kujifunza kuhusu biashara ya mtandoa {network marketing} anaweza kunitumia email then ntamweleza kwa kina na jinsi gani ya kuweza kutengeneza kipato kikubwa kisicho na kikomo endapo atajibidisha. ni fursa ya kuufanya umaskini historia.

Inaweza kuwa vizuri zaidi endapo utanitumia namba ili nikupigie tupange jinsi tunavyoweza kushirikishana katika mchakato huu. email ni samidaenterprises@yahoo.com.

Kiongozi wewe binafsi unapata zaidi ya hiyo 30 M kwa mwezi?
 
Wacha usanii wa kijinga unaweka kichwa cha moto halafu ndani habari ya baridiiii!
 
Labda cio Jf!! hizi thread ni nying mno humu jf
 
Oga, dis is impocanto, its imposible and it can't happen. U oga wana do 419 todeo. Tofyakwa. Anybody go give dis man his muni should no complain here at JF. Even cobo, it is his own wahala de. Go do ada jobs man.

Unaweza rudia ulicho andika kwa lugha rahis..
 
Back
Top Bottom