Its time to wake up! Walimu wanatumiwa kama scapegoat tu na wanasiasa Censoring their ROT!
Amkeni Fuatilieni mambo ya Msingi sio kila siku Mwalimu
Badala uwaze Bilion 100 za Ruzuku ya mafuta unamuwaza Mwl ngoja waanze kukulamba Tozo miamala ya Benki si mlikimbia M~pesa mkahamia Benk sasa wamewafuata hukohuko