Mshahara jeshi la Polisi

Mshahara jeshi la Polisi

Status
Not open for further replies.

Anthony Threedeyea

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2013
Posts
471
Reaction score
47
week iliyopita form za kujiunga polisi kidato cha sita zililetwa...naomba kuuliza hivi ukimaliza mshahara ni bei gan????samahani lakini
 
Nyie ndiyo mtakuja kutusumbua na rushwa cause upo after money, by the way mshahara ni liki tatu na nusu
 
week iliyopita form za kujiunga porisi kidato cha sita zililetwa...naomba kuuliza hivi ukimaliza mshahara ni bei gan????

samahani lakini

Kabla ya kuulizia mshahara hebu uliza na haya,
1.Polisi ni nini
2.Polisi ni nani
3.Majukumu yake ni yapi?
4.Taratibu zao zikoje?
5.Miiko yake ni ipi
6.Haki zako ni zipi ukiwa kazini na baada ya kustafu kazi.
 
Mimi niliacha jeshi nikiwa nalipwa shs 7,250 wakati huo na matumizi yangu yalikuwa shs 35,000 ikabidi nisepe..
 
mkuu spanish PC mshahara ndio unakupa morality ya kazi...msaada tafadhari
 
Last edited by a moderator:
Mwaka gani?
Force number?
Uliacha kisheria?
Kama hukuacha kisheria unatakiwa ukamatwe na urudishwe jeshini haraka sana.

Hahahaha,

Mkuu mimi niliacha kisheria na kwa sheria za jeshi la polisi mimi nina powers of arrest kama za polisi wengine.

Ukileta za kuleta nakuweka kizuizini bila kuchelewa.

Niliacha mwaka 1995 siku ile Nyerere alipohutubia Mbeya na niliacha baada ya hotuba yake pale uwanja wa sokoine.

Namba yangu siwezi kukupa usije ukaitumia kutapelia watu.

Kila nikiwa Bongo ni lazima niende makao makuu ya polisi kusalimia rafiki zangu wengi ambao sasa ni wakubwa sana, kwa hiyo hata mimi ningevumilia ningekuwa mkuu wa kitengo cha kudhibiti mikutano isiyo na vibali na mihadhara ya kichochezi...

Nadhani umenielewa.
 
Hii ndio mentality iliyopo mashuleni,vyuoni na mitaani....this negative perception has been created yrs ago....haya bana mia 3 hamsin(350,000/-)
 
Hahahaha,

Mkuu mimi niliacha kisheria na kwa sheria za jeshi la polisi mimi nina powers of arrest kama za polisi wengine.

Ukileta za kuleta nakuweka kizuizini bila kuchelewa.

Niliacha mwaka 1995 siku ile Nyerere alipohutubia Mbeya na niliacha baada ya hotuba yake pale uwanja wa sokoine.

Namba yangu siwezi kukupa usije ukaitumia kutapelia watu.

Kila nikiwa Bongo ni lazima niende makao makuu ya polisi kusalimia rafiki zangu wengi ambao sasa ni wakubwa sana, kwa hiyo hata mimi ningevumilia ningekuwa mkuu wa kitengo cha kudhibiti mikutano isiyo na vibali na mihadhara ya kichochezi...

Nadhani umenielewa.

hahahahaha poti vipi mshahara wa sasa ni mkubwa posho mbalimbali na tayari ungekuwa RPC wa Arusha au Kili
 
serikalini wanaolipwa mishahara ni wachache wengi wanapewa hela ya sabuni kila mwezi!!
 
week iliyopita form za kujiunga porisi kidato cha sita zililetwa...naomba kuuliza hivi ukimaliza mshahara ni bei gan????

samahani lakini

kwako wewe kipaombele ni pesa!!! kwa mjibu wa swali lako utasumbua sana wana wa nchi kuomba rushwa ili ukidhi matakwa yako. na utachafua sura ya jeshi bora ujiunge na waendesha bodaboda maana wateja wako mnakubaliana kabla ya malipo
 
Mi niliacha mwaka 2008 nikiwa nalipwa sh180,000 wakati matumizinyangu kwa mwezi yanazidi 500,000. Nikashindwa hivyo nikasepa.
 
Kuna wenzako wanashahada za vyuo vikuu lakini kuipata hiyo kazi wameshindwa sasa wewe ng kaelimu chako uchwara kasiko na taaluma yeyote weka mbwembwe uje kujuta baadae maana mashuleni kuna mambo ya kudanganyana .
 
Hahahaha,

Mkuu mimi niliacha kisheria na kwa sheria za jeshi la polisi mimi nina powers of arrest kama za polisi wengine.

Ukileta za kuleta nakuweka kizuizini bila kuchelewa.

Niliacha mwaka 1995 siku ile Nyerere alipohutubia Mbeya na niliacha baada ya hotuba yake pale uwanja wa sokoine.

Namba yangu siwezi kukupa usije ukaitumia kutapelia watu.

Kila nikiwa Bongo ni lazima niende makao makuu ya polisi kusalimia rafiki zangu wengi ambao sasa ni wakubwa sana, kwa hiyo hata mimi ningevumilia ningekuwa mkuu wa kitengo cha kudhibiti mikutano isiyo na vibali na mihadhara ya kichochezi...

Nadhani umenielewa.

We tapeli ti.
 
hahahahaha poti vipi mshahara wa sasa ni mkubwa posho mbalimbali na tayari ungekuwa RPC wa Arusha au Kili
Mkuu kwa level yangu lazima ningekuwa RPC au mkuu wa upelelezi Arusha.

Mimi nilikuwa mmoja wa askari wachache sana watiifu jeshini.

Mimi nilikuwa real police...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom