Du! Aise kama ni mshahara ni huo 80000 kwa kweli polisi kisheria anafaa Achunge Raia na mali zake je kwa hali hiyo watatuchunga au watatuchuna Ukweli? Tunaomba muheshimiwa Rais ungewaangalia hata kima cha chini kabisa wangepewa laki tano halafu hii katiba mpya ipitishe Miraaa watu wale kama zamani maana kero kubwa mtu uko kwenye starehe zako unajenga gorofa yako kichwani unaambiwa eti wewe unakula maadawa ya kulevya ambayo si kweli maadawa ya kulevya ni mfano hai ni sigara kwasababu inazuru afya yako hata juu ya kasha imeandikwa na huku madukani ipo na tunauziwa halali kisa Waheshimiwa wana hisa ndani yake labda. Nchi jirani tu hapo uganda hii Miraa kweli imepigwa marufuku lakini wameona miraa imepunguza sana uhalifu sana kila saa jamaa wakitaka kuja kuiba wanawakuta washikaji wako full Active inabidi warudi tu kwa hii sirikali waache kuwaonea Askari wetu ni wazuri sana na wana uvumilivu sana na mungu awape hivyo hivyo one day yes mshahara utafika juu zaidi subra muhimu na kuweni waadilifu kimbizaneni na majambazi na si wala Miraa