sweet girl 2000
New Member
- Nov 5, 2014
- 3
- 2
Habar wanaJF
Kuna anaefahamu mshahara wa bank teller na benefits nyinginezo kwenye hii bank?
Kuna anaefahamu mshahara wa bank teller na benefits nyinginezo kwenye hii bank?
Basic Salary ni TSH.843,600/=
Kuna benefits za overtime na extra duties.
Sahihi kabisa.mbona mnapotosha hizo calculations za basic na net??
850 k gross net inakuja around 630-50 if not mistaken
Basic 450,000/= then every sunday kwa baadhi ya branches wanaofungua tellers wanapata allowance ya 20,000/= coz cyo branches zote wanafungua juma pili:
Nafahamu coz nimiezi 2 now toka niondoke hapo
We mshahara ukitaka kujua c under kusoma mkataba wako afu jua mshahara co vema kudisclose
Ni bora akajua ili kama haimlipi asiende kabisa na kwenye hiyo interview.
Hamna ajira ya kuajiriwa inayomlipa mtu.
Zipo aisee, mfano Kikwete.
Kwani unadhani vigogo wa chama cha mafisadi wanafanya kampeni kutokana na pesa yao?Kwa macho yako unaona inamlipa. Lakini sio hivyo, gharama za kufanya kampeeni ni kubwa sana....ukifanya cost benefit analysis, utamkuta bado analipa madeni
Kwa macho yako unaona inamlipa. Lakini sio hivyo, gharama za kufanya kampeeni ni kubwa sana....ukifanya cost benefit analysis, utamkuta bado analipa madeni