Norton82 JF-Expert Member Jul 3, 2016 721 620 Jul 26, 2017 #1 Kwa wataalamu wa lugha na misemo ya Kiswahili, msemo unaosema "Binamu nyama ya hamu" huwa una maanisha nini? Karibuni kwenye jukwaa kwa michango.
Kwa wataalamu wa lugha na misemo ya Kiswahili, msemo unaosema "Binamu nyama ya hamu" huwa una maanisha nini? Karibuni kwenye jukwaa kwa michango.
steven13 JF-Expert Member Aug 8, 2014 319 162 Jul 26, 2017 #2 Norton82, "Hainaga ushemeji wanakulaga" ukielewa hii basi na hiyo utakua ushaelewa norton82 Good Neighbour
Norton82, "Hainaga ushemeji wanakulaga" ukielewa hii basi na hiyo utakua ushaelewa norton82 Good Neighbour
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,993 69,391 Jul 26, 2017 #3 steven13 said: "Hainaga ushemeji wanakulaga" ukielewa hii basi na hiyo utakua ushaelewa norton82 Good Neighbour Click to expand... kumbe Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
steven13 said: "Hainaga ushemeji wanakulaga" ukielewa hii basi na hiyo utakua ushaelewa norton82 Good Neighbour Click to expand... kumbe Sent from my iPhone 5s using Tapatalk