GAGL
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 387
- 391
Naomba kuelewesha hapa, kati ya katibu mkuu wa wizara na waziri, ni nani msemaje wa wizara? Hii itanisaidia mimi na wengine wasioelewa kama mimi, kuweza kutofautisha kati ya katibu mkuu na waziri, nani ni political figure na anaewajibika kwa wananchi moja kwa moja. Nimestushwa kidogo kwa vitendo vya makatibu wakuu kuwasemea mawaziri kuhusu masuala yao kisiasa. Ref: katibu mkuu mambo ya nje kumsemea Membe na katibu mkuu ujenzi kumsemea Magufuli.