Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Naomba anaweza kutupa taarifa juu ya huyu Bwana atujuze alipo maana muda mfupi uliopita nimesoma taarifa inayofanya nihoji kuhusu alipo.
Mwenye majibu tafadhali
Mwenye majibu tafadhali
Muda utathibitisha japo juzi alikuwa akihojiwa.Yupo kwenye majukum yake ya kikazi unashida nae? Mkuu
Kamsome Ansbert Ngurumo Kule twitter ndio utapata mwanga zaidi.Labda yupo busy na mambo yake au ule ugonjwa
Tangu aseme uongo kule twitter wakampiga ban kwenye ile account ya Msemaji wa Serikali amekuwa adimu sana.Naomba anaweza kutupa taarifa juu ya huyu Bwana atujuze alipo maana muda mfupi uliopita nimesoma taarifa inayofanya nihoji kuhusu alipo.
Mwenye majibu tafadhali.
Baadhi hawapo mule mkuu + ubovu wa mtandao!Kamsome Ansbert Ngurumo Kule twitter ndio utapata mwanga zaidi.
Mada itafutwa mkuu ingawa hata nayo bado inaweza kufutwa tu.Baadhi hawapo mule mkuu + ubovu wa mtandao!
Mambo kama hayo muwe mnascreenshoot nakuweka humu mtakuwa mmefanya busara sana!
Kikeke je?Kwa hili, msemaji yu buheri wa afya.
Yani awamu hii kimalkia ni tatizo kwa hizo PhD za kariakooalisema guests badala ya visitors..poor english
Huu mwaka lazima maiti zizagae barabarani na bendera zipepee ½mlingoti
Mkuu, kamsome Ansbert Ngurumo kule twitter kupata majibu.Tujuze Mkuu
View attachment 1701022
Funguka mkuu hapa hapa.Mkuu, kamsome Ansbert Ngurumo kule twitter kupata majibu.