Daisy Llilies
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,017
- 2,154
Chidi Benzi anaondoka tu, aulize walivyomfanyia yule wa Cote de VoireMayote ni France. Kwa hiyo France wamemkamatisha huyo 'Chid Benz' wa Rwanda?
Chidi Benzi anaondoka tu, aulize walivyomfanyia yule wa Cote de VoireMayote ni France. Kwa hiyo France wamemkamatisha huyo 'Chid Benz' wa Rwanda?
We ni mtutsi?
Hahahaha, Mkuu kumbe we ni......Ni njereeeeeeeee.
Utakuwa unainamishwa na kagame wewe sio bure maana unavyopenda kujipendekeza kwa mwanaume mwenzio lazima utakuwa msenge wake
Kwani mnataka kujipanua kijiografia,kuichukua hiyo nchi yenye umri mkubwa EA.
Na sasa tunamaliza ' Mchoro ' wetu wa ' Kimafia ' kabisa wa Kumaliza Kazi kwa ' Mpuuzi ' mwingine ( Adui wa Rwanda ) ambaye anaishi Uhamishoni nchini Afrika Kusini huku akisaidiwa ' Kimbinu ' na Rais mmoja hivi wa Afrika Mashariki sasa ni Mstaafu katika Mji wa Mahakama ya Mananasi na ' Wapuuzi ' wengine wachache wa hiyo hiyo nchi akiwemo na aliyekuwa Waziri mmoja wa Kusafiri sana mwenye ' Bifu ; na Rais aliyepo sasa huko.
Nawasilisha.
Hahah njeree moja hio arifu.Hahahaha, Mkuu kumbe we ni......
MTC | 101|
Uko rwanda au tz maanake unatutia threat wabongoMliokuwa mkinidhihaki naomba endeleeni Kunidhihaki ila huwa sibahatishi nikisema Jambo hapa na nilisema kuwa ndani ya Siku 90 tu ' Mpuuzi ' Sankara ambaye alikuwa haijui vyema nchi ya Rwanda na Serikali ya Rais wangu Kagame atakamatwa na tayari ameshakamatwa.
Sasa ndiyo atajua kwanini GENTAMYCINE ni Mnyarwanda na kwanini Rwanda ni Israel ya Afrika na kwanini Wanyarwanda ndiyo Raia wenye Akili Afrika nzima. Na kitakachompata huko aliko sasa atakuja Kuwahadithia ' Wapumbavu ' wengine wote wanaodhani kuwa nchi ya Rwanda ni ya Kuchezewa kama zingine.
Mmeshajiuliza Yule Dada Diana Rwigera kwanini sasa hivi amekuwa Mpole na mwenye Adabu zote tokea alipotoka ' Lupango ' akiwa na Mama yake hadi hivi akiwa hataki kabisa mambo ya Siasa? Hii ndiyo Rwanda na Sisi ndiyo Wanyarwanda ambao hatushindwi Kitu kama tukiamua.
Na sasa tunamaliza ' Mchoro ' wetu wa ' Kimafia ' kabisa wa Kumaliza Kazi kwa ' Mpuuzi ' mwingine ( Adui wa Rwanda ) ambaye anaishi Uhamishoni nchini Afrika Kusini huku akisaidiwa ' Kimbinu ' na Rais mmoja hivi wa Afrika Mashariki sasa ni Mstaafu katika Mji wa Mahakama ya Mananasi na ' Wapuuzi ' wengine wachache wa hiyo hiyo nchi akiwemo na aliyekuwa Waziri mmoja wa Kusafiri sana mwenye ' Bifu ; na Rais aliyepo sasa huko.
Huyu nae akipona mwaka huu basi aende akachinje Kondoo kwani wale ' Wanafiki ' wote wa Rwanda na wanaotumika na Watu wenye ' Chuki ' za Makusudi na Taifa zuri na lililobarikiwa la Rwanda lazima waondoke ' Kimafia '. Na hili liwe Fundisho Kubwa kwa Raia wa nchi moja hivi Jirani ambayo ina Umri mkubwa lakini bado Masikini kwamba Rwanda ni zaidi ya waijuavyo na Wao wakae chonjo kabisa kwani nchi yao Kwetu ipo Uchi kabisa na tunaijua in and out na wakicheza sasa hivi itakuwa Mali ya Rwanda.
Nawasilisha.
Hahahaha, Sawa MkuuHahah njeree moja hio arifu.
Na we unamsiikiliza huyo psycho ahah mpuuzeUko rwanda au tz maanake unatutia threat wabongo
KUmbe rwanda nayo ni nchi. ahahahhaha. Mi naonaga kama ni ka jimbo ka TZ. Mkuu rwanda ina mikoa mingapi?Mliokuwa mkinidhihaki naomba endeleeni Kunidhihaki ila huwa sibahatishi nikisema Jambo hapa na nilisema kuwa ndani ya Siku 90 tu ' Mpuuzi ' Sankara ambaye alikuwa haijui vyema nchi ya Rwanda na Serikali ya Rais wangu Kagame atakamatwa na tayari ameshakamatwa.
Sasa ndiyo atajua kwanini GENTAMYCINE ni Mnyarwanda na kwanini Rwanda ni Israel ya Afrika na kwanini Wanyarwanda ndiyo Raia wenye Akili Afrika nzima. Na kitakachompata huko aliko sasa atakuja Kuwahadithia ' Wapumbavu ' wengine wote wanaodhani kuwa nchi ya Rwanda ni ya Kuchezewa kama zingine.
Mmeshajiuliza Yule Dada Diana Rwigera kwanini sasa hivi amekuwa Mpole na mwenye Adabu zote tokea alipotoka ' Lupango ' akiwa na Mama yake hadi hivi akiwa hataki kabisa mambo ya Siasa? Hii ndiyo Rwanda na Sisi ndiyo Wanyarwanda ambao hatushindwi Kitu kama tukiamua.
Na sasa tunamaliza ' Mchoro ' wetu wa ' Kimafia ' kabisa wa Kumaliza Kazi kwa ' Mpuuzi ' mwingine ( Adui wa Rwanda ) ambaye anaishi Uhamishoni nchini Afrika Kusini huku akisaidiwa ' Kimbinu ' na Rais mmoja hivi wa Afrika Mashariki sasa ni Mstaafu katika Mji wa Mahakama ya Mananasi na ' Wapuuzi ' wengine wachache wa hiyo hiyo nchi akiwemo na aliyekuwa Waziri mmoja wa Kusafiri sana mwenye ' Bifu ; na Rais aliyepo sasa huko.
Huyu nae akipona mwaka huu basi aende akachinje Kondoo kwani wale ' Wanafiki ' wote wa Rwanda na wanaotumika na Watu wenye ' Chuki ' za Makusudi na Taifa zuri na lililobarikiwa la Rwanda lazima waondoke ' Kimafia '. Na hili liwe Fundisho Kubwa kwa Raia wa nchi moja hivi Jirani ambayo ina Umri mkubwa lakini bado Masikini kwamba Rwanda ni zaidi ya waijuavyo na Wao wakae chonjo kabisa kwani nchi yao Kwetu ipo Uchi kabisa na tunaijua in and out na wakicheza sasa hivi itakuwa Mali ya Rwanda.
Nawasilisha.
Uko rwanda au tz maanake unatutia threat wabongo
Kwa hio?Is it our concern? Wanyarwanda ni wa kawaida sana, kazi yao kujibaraguza tu. Wepesi kuliko unyoya
MaliziaKwa hio?
Msemaji wa kundi la waasi wa Rwanda major Callixte Sankara aliedai vikosi vyake kuteka baadhi ya maeneo ya Rwanda hivi karibuni amekamatwa.
View attachment 1084840
Sankara ambae amekua maarufu kwenye social media alikamatwa mji wa mayote visiwa vya comoro na watu wa usalama kutoka Kigali na kupeletwa kwa ndege maalumu iliyotumwa na Rwanda kumrejesha nchini humo.
Leo waziri wa mambo ya nje wa Rwanda akiongea na waandishi wa habari amethibitisha kukamatwa kwa Sankara na atapelekwa mahakamani kujibu mashitaka hivi karibuni.
Akiongea na waandishi wa habari hivi karibuni Raisi wa Rwanda Paul kagame alikanusha kuwepo kwa kundi la waasi kwenye ardhi ya Rwanda.
Sankara amekua akieneza propaganda za kuivamia Rwanda na kudai kukamata baadhi ya maeneo.