Msemaji wa kundi la waasi wa Rwanda major Callixte Sankara aliedai vikosi vyake kuteka baadhi ya maeneo ya Rwanda hivi karibuni amekamatwa.
Sankara ambae amekua maarufu kwenye social media alikamatwa mji wa mayote visiwa vya comoro na watu wa usalama kutoka Kigali na kupeletwa kwa ndege maalumu iliyotumwa na Rwanda kumrejesha nchini humo.
Leo waziri wa mambo ya nje wa Rwanda akiongea na waandishi wa habari amethibitisha kukamatwa kwa Sankara na atapelekwa mahakamani kujibu mashitaka hivi karibuni.
Akiongea na waandishi wa habari hivi karibuni Raisi wa Rwanda Paul kagame alikanusha kuwepo kwa kundi la waasi kwenye ardhi ya Rwanda.
Sankara amekua akieneza propaganda za kuivamia Rwanda na kudai kukamata baadhi ya maeneo.
Sankara ambae amekua maarufu kwenye social media alikamatwa mji wa mayote visiwa vya comoro na watu wa usalama kutoka Kigali na kupeletwa kwa ndege maalumu iliyotumwa na Rwanda kumrejesha nchini humo.
Leo waziri wa mambo ya nje wa Rwanda akiongea na waandishi wa habari amethibitisha kukamatwa kwa Sankara na atapelekwa mahakamani kujibu mashitaka hivi karibuni.
Akiongea na waandishi wa habari hivi karibuni Raisi wa Rwanda Paul kagame alikanusha kuwepo kwa kundi la waasi kwenye ardhi ya Rwanda.
Sankara amekua akieneza propaganda za kuivamia Rwanda na kudai kukamata baadhi ya maeneo.