Mkurugenzi wa Idara Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali ataongea na vyombo vya habari leo Julai 25, 2018 saa 6:00 mchana katika ukumbi wa Idara ya Habari- MAELEZO uliopo jengo la LAPF ghorofa ya tano, Jijini Dodoma.
Stay tuned..........
* Kunj tetesi kuwa hoja ya sakata la "gawio ama maduhuli" ya mashirika ya umma kwenda serikalini, itakuwa ajenda kuu!
Stay tuned..........
* Kunj tetesi kuwa hoja ya sakata la "gawio ama maduhuli" ya mashirika ya umma kwenda serikalini, itakuwa ajenda kuu!