Hawezi kukundua kwamba sisi si mazuzu kwa sababu hata baba wa taifa aliwahi kusema bado ni kijana. Sitiari hii ina maana sana. Sentensi hii kiisimu inaweza kuchambuliwa hivi.
1. Kijana ana uelewa mdogo ukilinganisha na mtu mzima.
2. Kija mara nyingi anakurupuka.
3. Kijana hawezi kuongoza kwani hana uzoefu
4. Kijana anapenda kujirusha.
5. Mara nyingi kijana hakubali kukosolewa.
6. Kijana habebi majukumu sawa sawa.
n.k
huyu ndiye aliyekaa chini kwenye vumbi wakati wa kampeni kweli au naota kweli msanii ni msaani ndio maana kafungua JK Jazz Band na wanamuzi wake wako kwenye baraza lake la mawaziri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.