sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 649
Alikuwa na shida kwenye figo/mapafu. Alitkwenda kutubiwa India kwa muda mrefu kidogo, alipata nafuu. Ila hapa majuzi aliondoka jukwaani wakati anawasalimia mashabiki, nadhani tangu aiku hiyo hajanyanyuka tena.
RIP brother Sadiki Juma Kilowoko (SAJUKI)