Msanii Giggy Money na kukaa uchi

Msanii Giggy Money na kukaa uchi

Umofia kwenu JF,

Nilikuwa namuangalia sam misago na wageni wake ambapo m1wapo ni msanii giggy money,kiukweli mavazi anayovaa hayana maadili yeyote na EATV huwa wanampenda sana kumuweka,yaani leo kavaa kipensi kinachoishia kwenye sambusa na kalio lote linaloonyesha bonde la ufa wazi wazi,BASATA mmulikeni na huyu uenda akawa anafanya biashara nyingine tofauti na mziki.

Nyapu yake.
Tako lake.
Bonde LA ufa lake.
Kipensi chake.
Wewe unapepesa macho ya nn?
Ulilazimishwa kuangalia channel hiyo.
Tutakupiga BaN
 
Nyapu yake.
Tako lake.
Bonde LA ufa lake.
Kipensi chake.
Wewe unapepesa macho ya nn?
Ulilazimishwa kuangalia channel hiyo.
Tutakupiga BaN

Aisee..
sitaki kuamini kama na weye ni mtu mzima,tena uliyepitia jandoni.
 
Giggy EATV.jpg
 
Muziki siku hizi umekuwa rahisi na kichaka sana hadi machangudoa wanafanya ili biashara iwe kwenye peak
 
Na leo lipo fnl hivi huyu Sam analipiga hili? Dah ila limejaaliwa neema za Allah!
 
Hii nchi maadili yamekufa hadi kwa wazazi nini watoto....haya ni matokeo tu......
 
Back
Top Bottom