Msanii Giggy Money na kukaa uchi

Msanii Giggy Money na kukaa uchi

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
60,374
Reaction score
88,603
Umofia kwenu JF,

Nilikuwa namuangalia Sam Misago na wageni wake ambapo mmojawapo ni msanii giggy money. Kiukweli mavazi anayovaa hayana maadili yoyote na EATV huwa wanampenda sana kumuweka, yaani leo kavaa kipensi kinachoishia kwenye sambusa na kalio lote linaloonyesha bonde la ufa wazi wazi.

BASATA mmulikeni na huyu huenda akawa anafanya biashara nyingine tofauti na mziki.
 
Umofia kwenu JF,

Nilikuwa namuangalia sam misago na wageni wake ambapo m1wapo ni msanii giggy money,kiukweli mavazi anayovaa hayana maadili yeyote na EATV huwa wanampenda sana kumuweka,yaani leo kavaa kipensi kinachoishia kwenye sambusa na kalio lote linaloonyesha bonde la ufa wazi wazi,BASATA mmulikeni na huyu uenda akawa anafanya biashara nyingine tofauti na mziki.

Hii ya leo ina afadhali,
Kama wiki tatu hivi nyuma alikuja pia na vazi sijui kambunia nani, mpasuo si mpasuo mradi vurugu tu. Vazi lina mpasuo pande zote mbili toka chini Mpaka kando ya kiuno, chupi yote inaonekana.

Huyu Dada Itakua yuko mawindoni aka kibiashara zaidi!
 
Napenda kutoa maoni yanguo. Lakini hakuna picha na wala sijaangalia Tv hivyo nashindwa kusema juu yake.

Lakini inaonyesha jinsi anguko la maadili linavyokuwa kwa kasi. Shilole kafungua mlango na lisipodhibitiwa hali itakuwa mbaya.
 
BASATA mwaka huu mnayo kazi haya bwana ndo wasanii wetu vioo vya jamii
 

Attachments

  • 1431727809070.jpg
    1431727809070.jpg
    11.2 KB · Views: 4,996
  • 1431727831566.jpg
    1431727831566.jpg
    17.5 KB · Views: 2,959
Hiki ndicho anachokitaka kufanywa topic midomoni mwa watu, strategy yake ya kuukwaa usuperstaa ndo hii kukaa uchi na so far imekiki... Nasikitika that she is too young sijui what the future holds for her.. Another lulu in the making!!!
 
Yule yupo sokoni ni changu na mtu wa kufosi umaarufu town kila star anajifanya swaiba wake ..


Gusa unase!

Hilo jina kake inaonekana ni demu mwenye hela nyingi,au hiyo money ya kwenye jina lake inahusu nini!!
 
Matangazo biashara hiyo ndy tatizo la fani kuingiliwa na machangudoa
 
All,
-Duuu kama hapo ndio alikuwa amevaa vizuri basi ni shida.
-Huyu ni Video queen na mbongo flavor pia.
-Sasa Mzigo kama hule tunanue wa nini? Minyama tu na upepo.
-Na yeye anataka kuwa star anawatumia stars kama ngazi na kafanikiwa kumteka misago maana kila FNL yupo.
-Kama mdogo halafu ana manyama yote yale basi ni hatari sana kwa future yake.
 
Yule yupo sokoni ni changu na mtu wa kufosi umaarufu town kila star anajifanya swaiba wake ..


Gusa unase!

Asante. Umenena sawa kabisa.. Yaan kwenye mziki hana lolote ni hayo makalio tu ndo yanamuweka mjini
 
Kumbe na huyu binti ni msanii duuu
 
Du bora na nyie mmeliona hilo....maana nifah kishapoteza imani na mimi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom