Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Kwa hio kanunua mwaka 2018 au kanunua 2021?
Ama ana nunua na kuziuza
Ama ana nunua na kuziuza
Hii sio Jet, ni Propeller Plane ya kawaida tu.Duu huyu jamaaa kadri siku zinavyozidi kwenda ndo anazidi kufanya maajabuView attachment 953081
MmhWabongo washamba kweli, kwanza hiyo ndege sio jet injini bali propera, pia hii sio private jet, bali ni ndege ya abiria, Bombardier q300