Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 9,370
- 34,569
Ndio mkuuKwa hiyo hapo alipokaa na Mwinyi,pua yake ilikua imesha jitengeneza tayari?
Ndio mkuuKwa hiyo hapo alipokaa na Mwinyi,pua yake ilikua imesha jitengeneza tayari?
Kwan huwa zinasaidia nduguBahati mbaya hazikuweza kumsaidia wakati wa kufa ulipomfikia
Huko Kumegeka Pua kivipi.... Kha! Ilikuwa kama Udongo? Sasa kama fix ndo hiziHuyu pua yake ilikuwa ina megeka alikuwa na haki ya kuvaa barakoa
😀😀😀Mtoto wa 2000 utajua wapi hayaHuko Kumegeka Pua kivipi.... Kha! Ilikuwa kama Udongo? Sasa kama fix ndo hizi
Bro..mim nilivyotua bongo from somwea...hakyanan i felt hewa nzito na harufu mbaya...pale airport...na ni tofaut kabisa na unapotua ughaibuni..kwahyo nakubal ni kwel kama michael alisema hvyo..ni kwel kabisaa...wala sio uongoAlishawahi Kufika Bongo...! Kituko chake kimoja ni Kuziba pua....Eti Bongo inanuka
Mawazo ya kimasikini hayo,ndio nyie ambao hua mnajifariji mkiona matajiri,utasikia "Hizo mali ataziacha Duniani"
Nyumba,hela,magari... ni vitu vya kupita ila hakikisha vinapitia na kwako pia.
Vijiwe gani na ni kweli , UIikuwa hujazaliwa au ulikuwa kijijini sitimbi huwezi elewaAcha story za vijiweni mkuu.
Msiwe mnabisha kila kitu,ni kweli alikuja enzi za mzee ruksa miaka ya mwanzoni90 na aliziba pua kisa mji unanukaStori za kwenye mbege na Gahawa.
MJ hakuwa mtu wa kuvimba hata kidogo. Hata nyimbo za humanity na misaada katoa sana.Msiwe mnabisha kila kitu,ni kweli alikuja enzi za mzee ruksa miaka ya mwanzoni90 na aliziba pua kisa mji unanuka
We mTz....? Waswahili wana msemo wao...Eti mzarau kwao ni Mtumwa..!Bro..mim nilivyotua bongo from somwea...hakyanan i felt hewa nzito na harufu mbaya...pale airport...na ni tofaut kabisa na unapotua ughaibuni..kwahyo nakubal ni kwel kama michael alisema hvyo..ni kwel kabisaa...wala sio uongo
Pua aliziba na kitambaa kama barakoa ila kusema kwamba mji unanuka hakuna ushahidiMJ hakuwa mtu wa kuvimba hata kidogo. Hata nyimbo za humanity na misaada katoa sana.
Hata hii stori ya kuziba pua hata mimi nimewahi kuisikia, tenabwapiga soga walisema aligeuza ndege kurudi.
Stori hizi ni uwongo kwasababu picha zipo akiwa na Mwinyi wamekaa.
Acheni story za kwenye kahawa na alkasusu..Bro..mim nilivyotua bongo from somwea...hakyanan i felt hewa nzito na harufu mbaya...pale airport...na ni tofaut kabisa na unapotua ughaibuni..kwahyo nakubal ni kwel kama michael alisema hvyo..ni kwel kabisaa...wala sio uongo
Haya hiyo pua aliziba akiwa wapi, maana picha zinaonesha yuko poa tena comfortable kabisa.Pua aliziba na kitambaa kama barakoa ila kusema kwamba mji unanuka hakuna ushahidi
Hizi picha za ikulu,pua alizibar airport punde tu aliposhuka kwenye ndegeHaya hiyo pua aliziba akiwa wapi, maana picha zinaonesha yuko poa tena comfortable kabisa.
View attachment 1872823
View attachment 1872819
MJ ameshatembelea maeneo masikini na machafu kuliko JKN Airport. Check hapa akiwa Brazil tena kwenye poor locations na hoods 👇👇Hizi picha za ikulu,pua alizibar airport punde tu aliposhuka kwenye ndege
Na kama issue ni kuziba pua, MJ alikuwa hivyo anapenda kivaa MASK 👇👇Hizi picha za ikulu,pua alizibar airport punde tu aliposhuka kwenye ndege
Barakoa alivaa aliposhuka kwenye ndege kila mtu aliona ila kutamka kuwa nchi inanuka hakuna mwenye ushahidiNa kama issue ni kuziba pua, MJ alikuwa hivyo anapenda kivaa MASK 👇👇
View attachment 1872837
View attachment 1872838
View attachment 1872840
View attachment 1872841
Japo mji kweli ulikuwa mchafu sana enzi zileBarakoa alivaa aliposhuka kwenye ndege kila mtu aliona ila kutamka kuwa nchi inanuka hakuna mwenye ushahidi