Ngwea akiwa na msanii M to the P
jana south africa.mtu wa karibu
anasema walitakiwa kurudi dar leo
lakini waliwakuta wamezima
kwenye room wote wawili baada ya
kuji overdose madawa ya kulevya
na M to the P yupo hoi hospitali.
R.I.P son mangwair.....
Umeacha biff ktk game kati ya JD komando na clouds fm majanga...
Mwana FA na yeye kavamia kuwanga... Kweli mchawi yule mtoto wa Tanga....
Umetangulia brother R.I.P son
R.I.P son mangwair.....
Umeacha biff ktk game kati ya JD komando na clouds fm majanga...
Mwana FA na yeye kavamia kuwanga... Kweli mchawi yule mtoto wa Tanga....
Umetangulia brother R.I.P son
Ngwea akiwa na msanii M to the P
jana south africa.mtu wa karibu
anasema walitakiwa kurudi dar leo
lakini waliwakuta wamezima
kwenye room wote wawili baada ya
kuji overdose madawa ya kulevya
na M to the P yupo hoi hospitali.
'wee inaonyesha ni mzee flani wa maofisi ya maghorofani kabisa mitaa ya posta aisee hauwajui kabisa hawa jamaa wa kitaa si ndio............la sivyo utakuwa mmaza flani labda ticha hivi au mtu wa dini kabisa type za kilokole hauko na mambo ya kidunia safi sana,ni msanii kafa'