Nasikiliza bbc radio wanatangaza kuwa kuna uvumi unaendea afrika kusini kuwa mwanamuziki huyo amefariki. mwandishi wa habari wa bbc amekiri kuwa hata ubalozi wa tanzania nchini afrika kusini unazo hizo tetesi.
Duh! Ebana eeeh watu wakareee nyie. Yaani mtu inasemwa kafa jana au sijui leo halafu tayari toxicology report ishatoka na autopsy keshafanyiwa ku establish kwamba kafa kwa drug overdose? Ama kweli watu wana vipaji maalumu!
Inavyodaiwa ni kafia akiwa usingizini. Sasa kama alikufa akiwa usingizini ina maana autopsy keshafanyiwa na toxicology report ishatoka na inabainisha kwamba kafa kwa drug overdose?
Manake mtu kufa usingizini yaweza kuwa pia alipata shambulio la moyo....au tu kafa kwa natural causes. Hiyo ya drug overdose ni kweli ama ni usadiki tu wa watu?
Clauds ndio wanaowafanya wasanii wetu wafe haraka, kazi kubwa mafanikio hamna mwishoni wanakua mateja hata kufa.
Kazi kuwazungusha kwenye fiesta,faida mnachukua nyie wakigoma mnabana njia zote za kutokea.
Laana na iwe juu yenu.