Pdidy hunitendei haki kamanda! The old good days!! Sasa kwa hili jina am left to guess who this is!
Ila the use of 'Berto' inanikumbusha kipindi ambacho life was really good, lots of footballing, laughing and fun. Hopes were high about this country! Look at us now!
Pdidy hunitendei haki kamanda! The old good days!! Sasa kwa hili jina am left to guess who this is!
Ila the use of 'Berto' inanikumbusha kipindi ambacho life was really good, lots of footballing, laughing and fun. Hopes were high about this country! Look at us now!
Paulo sitaki utani na wewe. Na kama unataka kunidhalilisha jiandae kupanda kizimbani! Uwezo wa kufanya hilo sio wa kila mtu ndugu yangu. Matumizi ya computer yamekuja ukubwani!! Email address nimefungua mwaka 2002! Nitupie private msg kama kweli unania njema na mimi ukinipa maelekezo nifanyeje kuweka! La sivyo utaniadhiri mbele ya kadamnasi.
Ila sina tatizo na hilo, nikielimika jinsi ya kuweka nitafanya kamanda! Nashukuru kwa angalizo!
hivi ukiwa wakili kumbe waweza kujitetea mwenyewe mahakamani?
Madiwani wa TLP na Chadema pamoja na Mbunge 1 jumla tuko 23. CCM madiwani na Wabunge 2 jumla wako 22! Kura ikapigwa wakapata kura 23! Msimamizi Mkurugenzi!!
TLP walishirikiana nasi na wameendelea na ushirikiano huo. Mh. Lyatonga Mrema alisaini hati ya Ushirikiano pamoja na Mh. Mbowe kama wenyeviti wa Taifa.
Bado tunashirikiana na TLP. Mpaka sasa umekuwa ni ushirikiano wenye manufaa kwa sababu tunaweza kupinga jambo na kuhoji na itakapokuja kura ya kunyanyua vidole tunaweza kuzuia kwa wingi wetu.
msando usiweke wengine wako kazini humu kaka kila la kheri mkuu natamani ningekuwa lawyer wako maana hapo si simba wala yanga unashinda unazivuta mwenyewe haya ggodday kaka
mbona wa tz tuko kiwoga woga namana hii? Watatufanya nini hao ma shushushu? Berto usiwe na hofu as long as huvunji sheria za nchi, na katiba inakupa uhuru wa kutoa maoni yako, ilimradi tu hayaendi kinyume na taratibu za nchi. Mbona regia na kina mkumbo wanapicha zao humu? Wwewe ni diwani na kesho kutwa pengine mbunge, hivyo ujue kuwa jamii yote inakutizama na wale wasiokujua wakakujua kupitia picha yako. This is the right place for you to market yourself.
huwa nasikia raha ndani ya ubongo wangu nikikutana na watu waliokamilika upstars kama msando. Napata nguvu kuona msimamo na jinsi msando anavyotumia taaluma yake. Msando komaa nao kaka mpaka kieleweke. Ushirikiano wako na tlp ni muhimu kwa maslahi ya wananchi na maendeleo yao na ushriki wako kupitia chadema ni njia sahihi watoe jasho mpaka wajue ccm imechoka na inatia kichefuchefu. Kiukweli kwa utumbo unaofanywa na ccm msomi yeyote wa kweli hatakubali kuwa mwanaccm ni uchafu mtupu. Big up endelea kuwathibiti.