Msamvu na risiti za vishina

Msamvu na risiti za vishina

fandeys

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
8
Reaction score
6
Rais wangu, Msamvu stendi mpya wenzako bado hawatoi risiti za EFD. Mwanzo tuliambiwa baada ya stendi kuanza kutumika zitakuwepo za EFD. Kwingineko kote hadi parking tunapewa risiti za EFD usipokuwa Msamvu tu...Msamvu wao ni Exceptional maana EFD haziwahusu, wao wanajiamulia tuwenyewe.
b18b23dafcac55c0af931f9a3af46f34.jpg
 
Inawezekana hawajaagiza mashine au ndio wapo kwenye mchakato wa kuzileta. Nadhani ujumbe umefika kwa wahusika,
 
Back
Top Bottom