fandeys
Member
- Apr 2, 2012
- 8
- 6
Rais wangu, Msamvu stendi mpya wenzako bado hawatoi risiti za EFD. Mwanzo tuliambiwa baada ya stendi kuanza kutumika zitakuwepo za EFD. Kwingineko kote hadi parking tunapewa risiti za EFD usipokuwa Msamvu tu...Msamvu wao ni Exceptional maana EFD haziwahusu, wao wanajiamulia tuwenyewe.