Tumpara Dudu
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 617
- 487
Salaam kwenu wakuu. Natumai mnaendelea vyema na majukumu ya ujenz wa Taifa letu kupitia Royo Tawa ya uswazi. Ammaa baad. Naomba msaada wa kujulishwa maana ya kingereza ya msamiati wa kiswahili "kulazwa" mfano katika sentensi. "Mwanangu amelazwa muhimbili wodi namba 5"