STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,260
Sio lazima utoe msamaha, msamaha ni ishara ya udhaifu kwa muombaji na muonbwaji (endapo ataukubali).
Actually tunajua kwamba kilakitu, kila tendo hufanywa kwa makusudio, hivyo kuombana ombana misamaha kwa mambo ya makusudio inakuwa how come.
Uliwezaje kwenda kinyume na makubaliano kwakutegemea msamaha? Una akili wewe?
Sikukupangia maanuzi yako ya usaliti, kwahiyo usinipangie maamuzi yangu nitakayochukua!
。Ikiwa kutoa msamaha ni kumpa adui yako silaha ya mwisho na hivyo ni kumruhusu kukumaliza.
。Ikiwa kutenda kosa ni sawa na kuchukua karatasi na kuichoma moto, kwahiyo hata uizime na maji kamwe haitorudi kama ilivyokuwa mwanzo.
。Guyz uaminifu ni kitu cha thamani sana kwahiyo usiutegemee kuupata from cheap people.
Never Ever!
Actually tunajua kwamba kilakitu, kila tendo hufanywa kwa makusudio, hivyo kuombana ombana misamaha kwa mambo ya makusudio inakuwa how come.
Uliwezaje kwenda kinyume na makubaliano kwakutegemea msamaha? Una akili wewe?
Sikukupangia maanuzi yako ya usaliti, kwahiyo usinipangie maamuzi yangu nitakayochukua!
。Ikiwa kutoa msamaha ni kumpa adui yako silaha ya mwisho na hivyo ni kumruhusu kukumaliza.
。Ikiwa kutenda kosa ni sawa na kuchukua karatasi na kuichoma moto, kwahiyo hata uizime na maji kamwe haitorudi kama ilivyokuwa mwanzo.
。Guyz uaminifu ni kitu cha thamani sana kwahiyo usiutegemee kuupata from cheap people.
Never Ever!