Nimesoma kuwa uwanja wa ndege wa kimataifa utagharimu dola za kimarekani 272 Millioni. Details zinaonyesha kuwa uwanja utakuwa na uwezo wa kupitisha watu Milioni moja tu kwa mwaka (1,000,000 passengers). Hicho kiasi cha abiria kwa mwaka ni kidogo sana kulingana na gharama za pesa hizo
Dodoma una watu Milioni mmoja, na kama viongozi wetu wameamua uwe mji mkuu wetu iweje uwe na uwanja mdogo kiasi hicho....watu milloni moja tu? Hao watalii mnaotegemea kuja kutembea watatosha kushukia kwenye hiyo airstrip(Nimeona mchoro wa uwanja....Ni wa hovyo), Tumeambiwa utakuwa na runway itakayozidi kidogo kilomita 2, hautakuwa na aircraft bridges hivyo wasafiri watashuka kwenye tarmac halafu waende kwenye jengo la abiria.....Kweli vision ya viongozi wetu ni ya hovyo na inaturudisha nyuma. Hivyo hao viongozi wanajifunza lolote? Jomo Kenyatta ni karibu sana....hata kwenda kujifunza mnashindwa? Dar eS Salaam airport upo hovyo, Zanzibar airport hovyo, Kilimanjaro Airport (Hauna quality ya International Airport) nao hovyo, Mwanza upo kama Godown la NMC, Bukoba, Moshi na Mtwara viwanja vya hovyo kabisa, Songwe Airstrip umejengwa kama Hotel hata haueleweki.
Leo bado viongozi wetu wanaendelea kufanya ujinga ujinga.....LINI MTAFANYA VITU SAHIHI. hamuoni aibu kila mnachofanya ni substandard.
Kwa hizo pesa ungejengwa uwanja wa maana sana, Mfano India wanaongeza uwanja wa Hyedarabad (Terminal 5) kwa gharama ya USD 250 Millioni ukiangalia ramani yake na ukubwa wake utaona value for money. Utachukuwa zaidi ya watu 3 millioni kwa mwaka, Uwanja wa ndege wa San Fransisco unaongezwa kwa gharama ya kiasi kama hicho, huo utabadilisha taswira ya Uwanja wa ndege mzima na kubadilisha sehemu kubwa ya majengo yaliyochoka. Sisi viongozi wetu wanawaza kupiga hela tu na ku-finance uchaguzi
Tanzania has secured USD 272 Mn to build an international airport in its capital city, Dodoma. The loan, which came from the African Development Bank, will see the East African country expand its infrastructure.
The funding consists of a USD 198 Mn loan from the AfDB, and USD 23.52 Mn from the African Development Fund. The balancing USD 50 Mn is being co-financed by China;s Africa Growing Together Fund, which is under the management of the AfDB.
Tanzania is
one of the poorest-performing economies in the continent. Nevertheless, the country has sustained a relatively high economic growth over the last decade, averaging 6 to 7 percent a year.
Approximately 36 percent of Tanzanians live below the poverty line. Yet the country’s economic potential is unmistakable. Under the leadership of John Magufuli,
the nation’s economy has been developing in leaps and bounds.
The new airport will be built in Msalato, which lies roughly 12 km from Dodoma. The facility is expected to handle 1 million passengers yearly. It will take approximately 4 years to complete, during which a passenger terminal, runway and related infrastructure.
“An expanded air transport network in Dodoma, together with the ongoing high-speed railway construction on the central corridor, are necessary infrastructure investments to help unlock and disperse spatial development in the countryside.
This will strengthen the city’s potential as a strategic growth pole in keeping with Tanzania’ national development aspirations of fostering shared growth for all the regions,
” said Amadou Oumarou, AfDB’s infrastructure and urban development department director.
There are about 29 airports in Tanzania. The Julius Nyerere International Airport is the international airport of Dar es Salaam, the largest city in Tanzania. It is located about 12 kilometres southwest of the city centre. The airport has flights to destinations in Africa, Europe, and the Middle East.
Tanzania secures $272 million loan to build a new international airport with a capacity to handle 1 million passengers annually
GEORGE TUBEI
Yesterday at 2:46 PM
Nyerere square, dodoma. (TheVibe)
- The modern airport will be built in Msalato, 12 km from Dodoma.
- The funding package comprises a US $198.6m loan from the AfDB, US $23.52m from the African Development Fund, and US $50m in co-financing from China’s Africa Growing Together Fund.
- The project is part of a programme to expand the East African nation’s infrastructure.
The African Development Bank ( AfDB) has forwarded US $272m loan to the government of Tanzania to construct an international airport in its capital city Dodoma.
The project is part of a programme to expand the East African nation’s infrastructure. The funding package comprises a US $198.6m loan from the AfDB, US $23.52m from the African Development Fund, and US $50m in co-financing from China’s Africa Growing Together Fund, which the AfDB manages.
“An expanded air transport network in Dodoma, together with the ongoing high-speed railway construction on the central corridor, are necessary infrastructure investments to help unlock and disperse spatial development in the countryside.This will strengthen the city’s potential as a strategic growth pole in keeping with Tanzania’ national development aspirations of fostering shared growth for all the regions,” said Amadou Oumarou, the AfDB’s infrastructure and urban development department director.
Air Tanzania second Boeing 787-8 Dreamliner. (Twitter)
The modern airport will be built in Msalato, 12 km from Dodoma. It will include a passenger terminal, runway and related infrastructure.
The new airport project will take approximately four years to complete.
Upon completion it will have a capacity to handle 1 million passengers annually and will have a runway of just over 2km in length.
Source: Pulse Live Kenya
#AFRICAN DEVELOPMENT BANK(AFDB) #AFRICAN DEVELOPMENT FUND #CHINA’S AFRICA GROWING TOGETHER FUND #AMADOU OUMAROU #MSALATO
GEORGE TUBEIMORE FROM THE AUTHOR »