Msajili apokea malalamiko ya Mwigamba

Msajili apokea malalamiko ya Mwigamba

Nimefurahi sana kusikia kauli ya ukombozi
Basi kama haya maneno yamekutoka moyoni mwako na Mungu akubariki maana kuna viumbe hasa watoto
Wanaangamia kwa sababu ukombozi haujaja Tanzania.

Mwigamba, pambana kupigania haki yako watanzania wapenda amani na demokrasia wapo pamoja na wewe.
 
Kwani ni Lazima Uwe Chadema ukiona hakikufai si unatafuta Chama chenye katiba inayokupendeza wewe?
Anaeiona Cdm haiko sawa akae pembeni atuachie chama chetu.
 
miaka yote alikuwa wapi? mpaka uchaguz unakaribia ndo anaanza kujambajamba
 
Back
Top Bottom