Msajili aomba Mwongozo CHADEMA

Mbeba sumu huwa unalipwa kiasi gani kwa post?

Last week nilikuwa maeneo ya boko nilikutafuta wakaniambia uko bize sana...

Ndugu Lukosi unajidharaulisha sana kwa umri wako na kauli unazotoa,jaribu kua mjenga hoja,umri wako haupaswi kua na fikra na kauli za kitoto tena za mtoto ambae bado hajajitambua
 
Mbona hakusikika kipindi cha nyuma?

Kwa Taarifa yako tu huyu ni Katibu Mtendaji ofisi ya Katibu Mkuu kwa muda mrefu.

Sasa hivi anakaimu Ukatibu Mkuu kwa kuwa Dr Slaa hayupo Ofisini.
 
Ili watanzania wafanye mabadiliko, ili waweze kufanikiwa kuiweka serikali itakayowatimizia matarajio yao ni lazima ccm iondilewe madarakani.

Haya mambo ya kujadili kipengele cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chadema, tena na wanaccm ni kujaribu kuchelewesha harakati za watanzania kufanya mabadiliko, jaribio ambalo limeshindwa vibaya, watanzania wamewapuuza ccm na vibaraka wao
 

Ukilala usiku unajihesabia leo umepost kitu kumbe uharo
 

Mkuu wangu Tena wameumbuka vibaya.

CCM na vibaraka wao waliofukuzwa wamechanganyikiwa vibaya.
 
Kati ya hawa MM(s), huyu Mwigamba ndiye muathirika mkubwa zaidi hasa kisiasa, KIUCHUMI na kijamiii.
 
Chadema jibuni hoja kwanini mmechakachua kipengele cha ukomo wa uongozi kwenye katiba

Unataka wakujibie wapi? na unataka majibu gani zaidi ya yaliyotolewa. ushabiki wa kipuuzi na mihemko ya kike ni utumwa sana. mnaacha kijadili hoja mnajkita kwenye 'ukike' tu. hivi mtakomaa lini vijana? sasa kama unamajibu yako si jiridhishe kwa uliyonayo. get matured.
 
Mwi-Gamba anamwandikia barua msajiri; so what!

Angoje tu hukumu yake ya usaliti
 
Mwi-Gamba anamwandikia barua msajiri; so what!

Angoje tu hukumu yake ya usaliti, uanachama wake Na Chadema mwisho.
 

Mmm wewe noma kweli!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…