Msajili aomba Mwongozo CHADEMA

Ni vizuri Msajili ameomba ufafanuzi maana walitegemea atafanya kazi kwa hisia zao

Sidhani kama Msajili angekua mjinga maana Moto wa CHADEMA anaujua.Ni lazima afanye kazi kwa taratibu na kuweka wazi kila hatua vinginevyo.....!
 
Ni vizuri Msajili ameomba ufafanuzi maana walitegemea atafanya kazi kwa hisia zao

Sidhani kama Msajili angekua mjinga maana Moto wa CHADEMA anaujua.Ni lazima afanye kazi kwa taratibu na kuweka wazi kila hatua vinginevyo.....!
Wewe utatembea na sumu hadi kifo chako
 
Ni vizuri Msajili ameomba ufafanuzi maana walitegemea atafanya kazi kwa hisia zao

Sidhani kama Msajili angekua mjinga maana Moto wa CHADEMA anaujua.Ni lazima afanye kazi kwa taratibu na kuweka wazi kila hatua vinginevyo.....!
Mkakati wa mabadliko 2013.
 
Kwa hiyo mnalisha watu sumu bure halafu jasho lenu mabwana zenu wanaenda kuvinjari na mahawara dubaiv
 
Jadili mada ni si kujifanya poyoyo! sh.nziii mzigo wewe
Pole sana. Mnalo mwaka huu.jibuni hoja za mkakati wa mabadiliko na zile za mwigamba. Ww utaishia ku brush viatu vya bwana hadi uzeeni mchumia tumbo wewe
 

-Suala la Ukomo wa Katiba kunyofolewa ni hila za vibaraka wa CCM kusema kitu ambacho hakikuwepo baada ya kuwaahidi CCM kuwa kulikua na ukomo kwa hiyo viongozi hawa wenye misimamo mikali hawatakuwepo.Kisha baadae wakaanza kutafuta namna maana hela za watu wameshachukua.No way

Suala hili lipo kwa msajili

-Suala la Ruzuku ni lilishajadiliwa na kufika mwisho huku

-Suala la viti maalumu vigezo vya kitaalamu viliwekwa na Dr.Kitila Mkumbo

-Suala la Mahesabu na Ruzuku Naibu Katibu Mkuu wa ZAMANI ambaye pia ndie mwenyekiti wa PAC anaweza kutoa maelezo maana yeye alikua ofisini wakati huo
 
Pole sana. Mnalo mwaka huu.jibuni hoja za mkakati wa mabadiliko na zile za mwigamba. Ww utaishia ku brush viatu vya bwana hadi uzeeni mchumia tumbo wewe

Poleni sana.Hatujibu uchafu wa watu waliofukuzwa kwa Aibu kubwa ya kufungia mwaka!
 

Hizi ni Zilipendwa Njoo na Single nyingine!
 
Ni vizuri Msajili ameomba ufafanuzi maana walitegemea atafanya kazi kwa hisia zao

Sidhani kama Msajili angekua mjinga maana Moto wa CHADEMA anaujua.Ni lazima afanye kazi kwa taratibu na kuweka wazi kila hatua vinginevyo.....!

Amechukua Tahadhari kubwa kwa sababu anajua kilichomfika Tendwa alipogomewa na CHADEMA mpaka akatimuliwa kwa Aibu bila heshima yoyote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…