kipusy
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 639
- 321
JF DOCTORS msaada wenu unahitajika sana, Kuna jamaa yangu mmoja anasumbuliwa na vitu viwili
1) Huwa anawashwa bila sababu, hana upele, ila akiwa anajikuna vile vipele vya kuku vinatokeza vingi. baadae muwasho unapoa vipele vinatoweka. anamuda sasa tangu aanze kupata matatizo hayo.
2) Alianza kukohoa tangu Mwezi wa pili trh 10, mpaka leo hajapona na huwa akihema kwa nguvu mapafu au kwenye koo kuna unguruma, ametumia dawa zote muhimu za kawaida za kifua lakini bado hazijasaidia.
NASUBIRI MAONI YENU WANA JF
1) Huwa anawashwa bila sababu, hana upele, ila akiwa anajikuna vile vipele vya kuku vinatokeza vingi. baadae muwasho unapoa vipele vinatoweka. anamuda sasa tangu aanze kupata matatizo hayo.
2) Alianza kukohoa tangu Mwezi wa pili trh 10, mpaka leo hajapona na huwa akihema kwa nguvu mapafu au kwenye koo kuna unguruma, ametumia dawa zote muhimu za kawaida za kifua lakini bado hazijasaidia.
NASUBIRI MAONI YENU WANA JF