Kama kuna mtu anajua wapi anaweza kupata matibabu ya uhakika naomba aelekeze, Ikiwezekana na Jina la Doctor
Muhimbili dr. Masawe
Kama kuna mtu anajua wapi anaweza kupata matibabu ya uhakika naomba aelekeze, Ikiwezekana na Jina la Doctor
Inaweza kuwa egzma ila mshauri aende hosp
chini ya ******.sijaficha neno MODS WA JF NI WAKALI hawataki maneno machafu .***nyota ni=CHINI YA MAKALIO,[yale ya kina dada tunayoyapenda,yaliyojazia kwa nyuma.],ULISEMA ALIANZA KUKOHOA TANGU MWEZI WA PILI SIO?KIKOHOZI CHENYE MNGURUMO NA MATATIZO YA KUPUMUA ,KINAWEKWA KATIKA KUNDI LA HALI MBAYA[SEVERE][KIJAMII INAYOMZUNGUKA,NA KIAFYA PIA],TOKA MWEZI WA PILI MPAKA SASA NI MUDA MREFU,.HIVYO KINGA IKO CHINI,NA ILIKUWA CHINI NDIYO MAANA AKAPATA HICHO KIKOHOZ AMBACHO HAKIJAPONA I,NA MENGINEYO.NJIA YA KUJAMIIANA PIA HULETA MAAMBUKIZI YA WADUDU HAWA,USAFI NI MUHIMU PIA,KWANI UCHAFU UNACHANGIA KAMA NJIA YA MAAMBUKIZI KWA MUAMBUKIZAJI.
huyu ni dr wa kifua au ngozi, anapatikana kitengo gani pale Muhimbili?
hapo kwenye colour text weka wazi, uwelewa tunatofautiana, hapa unaokoa maisha ya mtu haina haja ya kuficha neno.