Ukikandamiza sana watu wako utaogopa mlipuko wakati wowote uleNimeona msafara wa Rais akiwa nchini Namibia. Hakuna walinzi wanaoning'inia hakuna watu wenye silaha za kivita.
Hakuna speed za ajabu kuwasha mataa na vingora vya hatari.
Nimeshindwa kuelewa tumeshindwa nini kuyatimiza haya nyumbani?
Ina maana hatuwaamini wanausalama wetu lakini wa Namibia tuna waamini?
Natumaini atakuwa amefungua macho kwa hii safari na atarudi na fikra mpya juu ya gharama za misafara yake
Bila picha uzi wako hauna thamani....Nimeona msafara wa Rais akiwa nchini Namibia. Hakuna walinzi wanaoning'inia hakuna watu wenye silaha za kivita.
Hakuna speed za ajabu kuwasha mataa na vingora vya hatari.
Nimeshindwa kuelewa tumeshindwa nini kuyatimiza haya nyumbani?
Ina maana hatuwaamini wanausalama wetu lakini wa Namibia tuna waamini?
Natumaini atakuwa amefungua macho kwa hii safari na atarudi na fikra mpya juu ya gharama za misafara yake
Kila Nchi na utaratibu wake
Ayeeiyoo..
Taratibu za kupanga kazi za kiusalama ziko hivi:
1. Security threats analysis
2. Security threats evaluation
3. Pro-active strategy to neutralize the critical threats
4. Implementation.
5. Review.
Ni kaiz ya kila mara, na sio kila siku, kwa siku moja inaweza kufanyika hata mara mbili.
Nadhani utafaidika.
Akiwa nyumbani yuko kwenye risk kubwa zaidi kuliko akiwa Namibia,and hence the need for more security,it is as simple as that.Maadui zake huku ni wengi,wengi,wengi sana.
Wangapi waliotumbuliwa, makampuni ya kinyonyaji kayabana, unadhani wanataka abaki hai? Never, they want him dead, they can even finance.Umewajuaje hao maadui? Uko tayari kuisaidia polisi katika hili?
Madongo anayotupiwa yanatosha kujua kwamba ana maadui wengi,huhitaji PhD kuliona hilo.Na hata yeye mwenyewe kusema tumuombee inaonyesha wazi kwamba anajua the risk he is facing.
Wangapi waliotumbuliwa, makampuni ya kinyonyaji kayabana, unadhani wanataka abaki hai? Never, they want him dead, they can even finance.
Wangapi waliotumbuliwa, makampuni ya kinyonyaji kayabana, unadhani wanataka abaki hai? Never, they want him dead, they can even finance.
Nimeona msafara wa Rais akiwa nchini Namibia. Hakuna walinzi wanaoning'inia hakuna watu wenye silaha za kivita.
Hakuna speed za ajabu kuwasha mataa na vingora vya hatari.
Nimeshindwa kuelewa tumeshindwa nini kuyatimiza haya nyumbani?
Ina maana hatuwaamini wanausalama wetu lakini wa Namibia tuna waamini?
Natumaini atakuwa amefungua macho kwa hii safari na atarudi na fikra mpya juu ya gharama za misafara yake.
Maswali ya kujiuliza ukiwa unajenga hoja:
1. Kama hofu ni ndani ya nchi inamaana Tanzania sio sehemu salama kuishi?
2. Kama anamaadui wengi itakuwaje kama asipochaguliwa 2020?
3. Nyerere na Magufuli ni yupi aliyekuwa strict kwa wabadhirifu na mafisadi?
Unaambiwa ndege imeenda imerudi imeenda tena itarudi kwa kuwasafirisha wafujaji wa pesa za walipa kodi akina Mangula sijui na naniliii ambao hawana huruma na walipa kodi
Ving'ora polisi traffic sijui Mkuu wa mkoa ocd rpc ni ufujaji wa pesa za walipa kodi kwa nchi maskini kama Tz
Akirudi ajitafakari wapi anakosea
Kubinya uchumi maana yake nini,mlizoea vya kunyonga,vya kuchinja hamviwezi.Ninyi wa vya kunyonga ni the minority,there is not much you can do.Huwezi binya uchumi,uteke watu then ubaki salama na ajiandae hata akishastaafu.
Kwa ule ulinzi ulioko huku hawezi rudi mtaaniHalafu naomba kuuliza "atarudi tena huku huyu
Ina saidia ku-deter threats,otherwise kusingekuwa na haja ya security anywhere,let alone kwa viongozi wakuu.Watz si wa hivo ni kila MTU Na 50 zake hakuna mwenye Wazo hilo.Hata ulindwe Na majini wenye nia ovu hawashindwi wakikutana,Kabila baba mlinzi wake ndie aliyemuondoa.Mbele ya Pesa mwanadamu ni dhaifu.
Kwa kiongozi mkuu wa nchi insecurity ipo anywhere,ni swala la kiwango.So kama unaona security risk ni kidogo na resources zako ni kidogo, unapunguza ulinzi.Nasisitiza inategemea resource availability.Mbona Trump au Putin wanatembea na mindege na Askari wengi tu wakiwa nje ya nchi zao kuliko wakiwa ndani ya nchi zao?
Ni mti wenye matunda.Huwezi kuondoa watu wenye vyeti fake,kubana mafisadi wa kila aina,including wezi wa mali zetu za asili na mali za serikali nk.nk.halafu watu waliokuwa wanafanya madudu hayo wakakupenda,it is so obvious.Lakini kwanini maadui awe nao wengi hivo?
Watadhibitiwa sio shida.Aishi huko huko. Asirudi huku kama maadui wake wengi wapo TZ.