Msafara wa Makonda wapata ajali

Huyu mtoto bashite anaitia nchi gharama nchi mnacheke Cheka, zimwi likujualo halikuli likakwisha
 
Mtu anayeshangaa gari 13 kuhusika na hii ajali utadhani hajawahi kuona misafara hapa Tz inavyopita kwa kasi huku inaongozana.

Logically gari la mbele likipata shida hata ya nyuma yatahusika ila tayari mtu anahisi ni ushirikina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…