Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
- Thread starter
- #21
Hivi Julius mtatiro ni nani cuf siku hizi mbona hasikiki?
Alikuwa na cheo,,,ila kwakuwa ni Mgalatia akaondolewa
Hivi Julius mtatiro ni nani cuf siku hizi mbona hasikiki?
mandla Jr. yaani hujui wanapigania nini? kweli aso maana haambiwi maana? kikieleweka utajua, kuwa mpole.
Nami nashangaa aliluwa anaenda wapi ktk nchi nyingine?
Alikuwa anaenda wapi kwenye nchi nyingine
Alikuwa na cheo,,,ila kwakuwa ni Mgalatia akaondolewa
![]()
Mkurugenzi wa habari wilaya'na MH SHIDO Ambae ni mwenyekiti wa serikal ya mtaa uliyopo kata ya miringo,wameumia vibaya wamelazwa hospitali ya BUGANDO[/QUOTE
Pole sana kamanda Shido tunakuombea afya njema upone haraka uendeleze mapambano.
Hahahaha umenikumbusha hako ka msemo ka maalim pindi anapokuaga anawahutubia boko haram.
Utasikia vibwagizo... mpo sawa sawaaaaaaah???
Tetetete.
Nami nashangaa aliluwa anaenda wapi ktk nchi nyingine?
Alikuwa anaenda wapi kwenye nchi nyingine
Alikuwa na cheo,,,ila kwakuwa ni Mgalatia akaondolewa
Mchukueni chadema chama cha wagalatia
Tehteh jukwaa limevamiwa na taahila.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na Katibu Mkuu Taifa wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad umepata Ajali mbaya Mkoani Mwanza na kupelekea Viongozi mbalimbali wa Chama hicho kuwa na hali mbaya.
Vilevile Mkurugenzi huyo wa Habari wa Chama hicho alisema kwa sasa Majeruhi hawo wamekimbizwa kwenye Hospitali ya Bugando kupatiwa matibabu na hali yao inaendelea vizuri isipokuwa Katibu chama cha Cuf kutoka Wilaya ya Nyamagana Rehema Mwenda hali yake sio Nzuri kutokana na kupoteza Fahamu
Naibu Mkurugenzi wa Habari kutoka Chama cha Wananchi CUF bwana Kambaya alithibitisha kutokea kwa Ajali hiyo na kusema Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Maalim na Katibu Mkuu Taifa wa Chama cha Wananchi (CUF) Seif Sharif Hamad ajadhurika na yuko salama bali waliodhurika na Ajali hiyo ni viongozi wa chama hicho,
"Ni kweli Msafara wa Makamu wa rais na Katibu mkuu Taifa umepata ajali ila yeye yuko salama,lakini viongozi wetu wa chama akiwemo katibu wa Chama cha Wananchi CUF Wilaya ya Nyamagana Be Rehema Mwenda Pamoja na Mkuu wa Kitengo cha cha Habari wa chama Chetu wilaya ya nyamagana Hassan Shido ndio wamepata majeraha kutokana na Ajali hiyo,"alisema Kambaya.
Kambaya alizidi kusema Ajali imetokana na Dereva wa Gari aina Scania kwenda kuligonga Gari lilokuwa limewabeka viongozi hao,ambapo gari hilo lilikuwa la nne kutoka gari lililombeba Maalim Seif kwenye msafara huo.
![]()