Msaadawa mawazo

Filbert Marco

Member
Joined
Jul 15, 2018
Posts
9
Reaction score
5
Msaada mwanangu anahalisha ana umri wa miezi 7 nimempeleka hospital kapatiwa vipimo vyote lakin hakuonekana na ugonjwa wowote, hivyo naombeni ushauri kwa yeyete mwenye utaalamu au uzooefu na mambo ya afya hasa kwa watoto
 
Msaada mwanangu anahalisha ana umri wa miezi 7 nimempeleka hospital kapatiwa vipimo vyote lakin hakuonekana na ugonjwa wowote, hivyo naombeni ushauri kwa yeyete mwenye utaalamu au uzooefu na mambo ya afya hasa kwa watoto
Mkuu peleka uzi huu kule JF Doctor-watakujibu kule.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…