habari wadau, kuna computer ukiwasha inaonyesha kuna program ya photo galley unfinished ila sina cd iliyotumika kuinstall hiyo program na ukienda kwenye installed program haionekani.msaada jinsi ya kuiondoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.