Msaada

Tatizo lako ni kuwa 'you think you are very special'
hapo ndo penye tatizo
unatafuta mtu as if unataka kuajiri
unaweka vigezo na kutazama kama ana meet vigezo bila wewe kujiuliza kama
una fall in love na umeweza kumfanya mwenzio a fall na wewe....

mapenzi ni moyo....ukiona watu wanageuka vimeo kwako basi labda na wewe kimeo
hawaoni 'anything special'
 

pole sana dada. nasikitika kukujuza kwamba una laana ambayo mabinti na wanawake wengi wa arusha wanayo. ukijaribu kufatilia utagundua kua wadada wengi wa arusha wamezalishwa na kuachwa, wamekua wakichezewa na kuacha, na mengine ya kufanana na hayo.

hali hiyo inatokana na wanawake ninyi kuhendekeza sana usela ma.vi wa ukanda wa kasikazini na mnasahau kubehave kama wanawake. kifupi mnahendekeza utata kuliko hekima.

acha ujinga wa kuiga piga goti chini muombe mungu akuondolee pepo la vizazi na vizazi ambalo pia linakuandama ili urudi kua mwanamke wa kawaida mwenye kufurahia mahusiano. ukihendekeza ujinga na misimamo isiyo na akili tutakuchezea sana na mwisho wa siku ni kifo katika umri ambao bado utatamani kuishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…