Hi guys.
For quite sometime now mimi nimekuwa msomaji wa mada nyingi kwenye hili jukwaa na nimekua nikipendezwa na busara za members na nikadhani na mimi pia naweza saidiwa walau mawazo tu kwa hichi kinachonipa wakati mgumu sasa hivi.
Mimi ni binti wa miaka 24 working here in Arusha. Nimekua kwenye mahusiano mara kadhaa ila hamna uliodumu zaidi ya miezi 3 kwa hivyo nabakia kuwa na sex partners most of the time.
I know the consequences of having sex partners na natamani kuwa kwenye uhusiano wa kudumu ila inashindikana.
Mimi nimekuwa chanzo cha kuvunjika mahusiano hayo mara zote i can say.
The thing is when i love i love hard ila the minute i start having doubts on my partner am done. Hata kama atajieleza nikishamtia tu doa kuwa si mwaminifu ama hanipendi kama anavyodai mkataba nae umekwisha ataanza tu kuona am acting strangely like not replying his txts on tym, not calling back etc.
Sijui kama kuna mtu anapitia ama amewahi kupitia hali kama hii anisaidie wat i should do. Wasiwasi wangu mkubwa is i have started seeing this new guy and am worried sitadumu nae kama haya mambo yay an to me za tena.
Please help kwa anaeweza because i really need to get my shit straight this time around.
For quite sometime now mimi nimekuwa msomaji wa mada nyingi kwenye hili jukwaa na nimekua nikipendezwa na busara za members na nikadhani na mimi pia naweza saidiwa walau mawazo tu kwa hichi kinachonipa wakati mgumu sasa hivi.
Mimi ni binti wa miaka 24 working here in Arusha. Nimekua kwenye mahusiano mara kadhaa ila hamna uliodumu zaidi ya miezi 3 kwa hivyo nabakia kuwa na sex partners most of the time.
I know the consequences of having sex partners na natamani kuwa kwenye uhusiano wa kudumu ila inashindikana.
Mimi nimekuwa chanzo cha kuvunjika mahusiano hayo mara zote i can say.
The thing is when i love i love hard ila the minute i start having doubts on my partner am done. Hata kama atajieleza nikishamtia tu doa kuwa si mwaminifu ama hanipendi kama anavyodai mkataba nae umekwisha ataanza tu kuona am acting strangely like not replying his txts on tym, not calling back etc.
Sijui kama kuna mtu anapitia ama amewahi kupitia hali kama hii anisaidie wat i should do. Wasiwasi wangu mkubwa is i have started seeing this new guy and am worried sitadumu nae kama haya mambo yay an to me za tena.
Please help kwa anaeweza because i really need to get my shit straight this time around.