Msaada

Msaada

Topetope

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
277
Reaction score
31
Jamani jf naomba kujua kutoka kwenu galaxy s3 huwa inatumia andoid ua inatumia app samaani wa ungwana
 
app ni tofauti na android!
android ni operatng system lakin app ni kama facebook,viber n.k
en yes s3 ya2mia android na inasupport lots of app:thumbup::thumbup:😕😕😕😕:thumbup:
 
Yangu haikubali kabisa inapishana au ina tetema
 
peleka samsung shop coz most of google answer wasema u have to flash ur ROM en itasumbua mybe wataweza change the settngs
 
hapo possibility 2

1. hio simu sio samsung galaxy s3 original
2. ni original sema ni version ya kichina

fanya hivi tafuta mtu ambae ana samsung galaxy original then chukua simu yake fatiliza anavyofanya kuchange lugha then na wewe ufanye. ukiona anavyofanya wewe kwako havipo ujue kimeo hiko

alternative nyengine

bonyeza setting (icon kama ya gear)

shuka chini hadi utaona icon ina alama ya A hio ndio sehemu ya kuchange lugha
 
Kaka nimeweka hii android yenye jina hili ambayo ndani yake kunakuwa na vitu vingi GO LAUNCH sasa mfano nikimpigia mtu nikitaka kukata simu nakuta imeji lock au naombeni mfimo mzuri wa android au nilazima ninunue original
 
Sasa mkuu kichina na Android kuna uhusiano gani? Anyway jaribu kuipeleka kwa dealers wa Samsung alipokaribu nawe. Maana sina uhakika kama kuna Galaxy fake mtaani isipokuwa kuna Galaxy zinazotengenezwa China kama ilivyo GT-P3100 mini tab 2 (7.0 inch) lakini haina tatizo lolote na ni ya kuaminika pia.
 
Kaka hii ni galaxy original sina shaka nayo ila sijui
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom