Wun
JF-Expert Member
- Jun 16, 2008
- 358
- 72
Habari zenu wakuu wadau nimeangaika sana kutafuta field work sehemu tofauti lakini nimekosa hadi sasa kama kuna mtu yoyote anaweza kunisaidia kupata sehemu ya kufanya practical training ninaomba msaada wenu wadau.ni mwanafuinzi wa mwaka wa kwanza chuo ninachosoma kipo hapahapa dar es salaam ninachukuwa bachelor degree in business administration kama kuna mtu anataka kunisaidia email yangu ni "juzzmanone@yahoo.com"