Danp36
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,097
- 920
Jamani,za asubuhi wana jf.samahani minimwanafunzi wa kidato cha sita,nlikuwa nauliza,kwa wale wanaojua qualification anazotakiwa kuwanazo mtu anaetaka kusoma chuo kozi ya Bsc in accounts &finance,wengine wanasema uwe na div 1.6 mzumbe,au ardhi unversty,naomba kujulishwa