how much do you have?
Humu JF ni mwiko kuuziana hasa kwenye jukwaa letu hili la Sayansi na Teknolojia, huwa tunasaidiana tu. WanaJF ni ndugu moja. Wewe ukimsaidia leo, yeye atakusaidia kesho kwa shida utakayokuwa nayo. JF NDIYO KIMBILIO LETU, WENGI TUMESAIDIWA MAKUBWA HUMU.
Hapo kwenye Red Upo sahii mkuu!!Humu JF ni mwiko kuuziana hasa kwenye jukwaa letu hili la Sayansi na Teknolojia, huwa tunasaidiana tu. WanaJF ni ndugu moja. Wewe ukimsaidia leo, yeye atakusaidia kesho kwa shida utakayokuwa nayo. JF NDIYO KIMBILIO LETU, WENGI TUMESAIDIWA MAKUBWA HUMU.
Mkuu si wote wanaojua hayo ma Torrenz au jinsi ya kucheza na hayo madude so ikibidi tuwasaidie kwa kuwawekea njia rahisi!!okay, aende kwenye torrent atapata full software na key zake.
Mkuu si wote wanaojua hayo ma Torrenz au jinsi ya kucheza na hayo madude so ikibidi tuwasaidie kwa kuwawekea njia rahisi!!
Mbona hajarudi kutoa feedback huyu yoghosh?
Mbona hajarudi kutoa feedback huyu yoghosh?
May belabda alikuwa anabip, au kifurushi chake cha internet cha mawazo na labda hajalogg in tena!