Msaada

Msaada

Joined
Jul 26, 2019
Posts
14
Reaction score
6
Hbl wanajf,msaada kwa anaejua taratibu za kujiunga na veta iliyopo tmk chang'ombe na ni mafunzo gani utolewa kwa watoto wa kike.
 
Vzr km umeelewa nilichomaanisha,km nawe ujui kaa kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umetoka mbiombio umeona hapa ni facebook? Yani unaandikia watu kihunihuni alafu unasema kaa kimya... Unadhani nani atakupa msaada kwa huo muandiko kama mtoto wa darasa la kwanza...

Yani akili zako kweli kama za zaituni..... Namuonea huruma mzee hassani
 
Si unaijua ilipo?

Basi fika ofisini waambie unataka utaratibu wa kujiunga. Utapewa fomu.
 
Umetoka mbiombio umeona hapa ni facebook? Yani unaandikia watu kihunihuni alafu unasema kaa kimya... Unadhani nani atakupa msaada kwa huo muandiko kama mtoto wa darasa la kwanza...

Yani akili zako kweli kama za zaituni..... Namuonea huruma mzee hassani
Barikiwa
 
Hiki ndicho kinanifanya niikubali jf kwamba ametoka fb amekuja mbio mbio akidhani wote humu ndani wana akili za kifb haaahhaa naona kakomaa hatarudia tena
 
Back
Top Bottom