Edwin tagaya
Member
- Aug 2, 2019
- 9
- 2
wakuu naombeni mnisaidie tofauti kati ya chuo cha wanyamaa pori mweka na chuo cha wanyam pori pasiansi na kwanin mweka ada yao ni kubwa sna? Msaada wenu wakuu
nisaidie mkuu kama una uelewa kuhusu hivyo vyuoSawa
SawaIngia Google kwa chuo cha mweka na kisha chuo cha pasiansi.
www.pasiansiwildlife.com
www.mwekawildlife.com
Lamwisho, acha kuwa mzembe maana sio kila jambo ni lakuuliza wakati una sim ya kisasa yenye kuweza kukufungulia dunia kiganjani mwako
SASA KUHUSU ADA KUBWA UNASHINDWA KUJIONGEZA MKUU??wakuu naombeni mnisaidie tofauti kati ya chuo cha wanyamaa pori mweka na chuo cha wanyam pori pasiansi na kwanin mweka ada yao ni kubwa sna? Msaada wenu wakuu
Sawa nimekupta vzuri kaka, unanishaur vip kuhus hiliSASA KUHUSU ADA KUBWA UNASHINDWA KUJIONGEZA MKUU??
NI SIMPLE TU CHUKUA MFANO... KWA NINI SIMU ZA IPHONE NA TECNO ZINAUZWA BEI TOFAUTI NA HADHI YAKE NI TOFAUTI IJAPOKUWA ZOTE NI SIMU?
ANGALIA UWEZO WAKO UKO WAPI KIFEDHA...MWANZA AU MOSHI THEN APPLYSawa nimekupta vzuri kaka, unanishaur vip kuhus hili
Nimekupata vyema brother kunawez kuwa na utofauti wowte kati ya hivi vyuo viwilANGALIA UWEZO WAKO UKO WAPI KIFEDHA...MWANZA AU MOSHI THEN APPLY
UTOFAUTI KWENYE ADA NA BAADHI YA COURSE..JARIBU KUPITIA KITABU CHA TCUNimekupata vyema brother kunawez kuwa na utofauti wowte kati ya hivi vyuo viwil
saw ndg yang nashkrUTOFAUTI KWENYE ADA NA BAADHI YA COURSE..JARIBU KUPITIA KITABU CHA TCU
KARIBU MKUUsaw ndg yang nashkr
basic certificate in wildlife managementUnataka kusoma level gani?.
Nenda mweka bila kujali ada kubwa,alaf iyo ada ina cover vitu vyote hadi accommodation
kwa mfno mtu akienda kusoma pasiansi lazma tena aende kusoma mweka.Nenda mweka bila kujali ada kubwa,alaf iyo ada ina cover vitu vyote hadi accommodation na meal,ukisoma pansiansi unaenda tena kuanza mweka basic certificate.