alsam
Senior Member
- Jun 16, 2016
- 184
- 152
mdogo wangu amemaliza form 4 na ana 4 ya 29 ni cousre gani anaweza akasoma yupo zanz
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlete shuleni ajichanganye na wenzake, ataweza kuanza masomo ya advance kwa kutumia mfumo maalum wa special need programs. Wapo wenzake pia waliokosa credit kama yeye, na pia wapo waliofanikiwa kutumia mfumo huo na wakatoka kielemu now wapo vyuoni. Hivyo nadhani hii ni njia nzuri ya kumsaidia mdogo wako aweze kuendelea vizuri katika safari yake ya elimu.mdogo wangu amemaliza form 4 na ana 4 ya 29 ni cousre gani anaweza akasoma yupo zanz
Sent using Jamii Forums mobile app