Msaada

Itakua sehem ya headphone imeingia maji au ujaribu kuchomeka tena uchomoe


Endelea kuvuta subra wanakuja
 
Ndiyondiyo mkuu ilikua ivyo
Kwa kweli hapo ni mtihani, hapo akitoki labda upeleke kwa fundi anaejua electronics vizuri, abadilishe ic ya sound, ukwel ni kwamba mafundi wengi watakwambia haiwezekani maana ni kazi ngumu sana na mafundi wengi hawaiwezi, watakupa option ya kubadilisha circuit (mashine).
Sabufa uwa zinaua sound system, usirudie tena kosa la kuplay music kwa njia iyo.
 
Kwa kweli hapo ni mtihani, hapo akitoki labda upeleke kwa fundi anaejua electronics vizuri, abadilishe ic ya sound, ukwel ni kwamba mafundi wengi watakwambia haiwezekani maana ni kazi ngumu sana na mafundi wengi hawaiwezi, watakupa option ya kubadilisha circuit (mashine).
Sabufa uwa zinaua sound system, usirudie tena kosa la kuplay music kwa njia iyo.
Ni simu ya mshikaji mkuu ndo kinamsumbua na ngoja nije nimpe taarifa
 
Na kama hatojali sana kuna application unaweza ku install ukaset sauti itakuwa inatoka lakini ki headphone kitaendelea kuwepo,
Pamoja na yote solution ni ubadili ic ya sauti
 
sehemu ya earphoone ni either chafu au ina maji
ila nadani ni maji so tafuta kitambaa ufute huno ndani na kama ikikataa ni hardware issues
 
Back
Top Bottom