Hujaeleweka vizuri mzee.
$1000 ni Dollar elfu moja. Au umeona price tag kwenye kifaa ndio huelewi inamaanisha nini? Kama ndio basi jua bila kuwa na hela hiyo dollar 1000 huwezo kukipata. Ukibadili hicho kiasi kuja kwenye shillingi ni sawa na millioni mbili na ushee