Jamani habari za jumapili!nimeanza kufanya mazoezi kwa mwili wangu na sasa ni kama wiki moja lakini MISULI ya mapaja yote inaumasana,naomba Doctors mnipe msaada wa kutuliza maumivu,Nb mimi ni mvulana wa miaka 30.Naomba kuwasilisha asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.