Msaada

CHURADUME

Senior Member
Joined
Jul 18, 2016
Posts
143
Reaction score
126
Kuna Simu kila wakati inaandika hivi sijui tatizo ninini kwa maana nime jaribu kui restore lakini ime goma mwenye kujua anifahamishe. Nitangulize heshima kwenu
 
nenda setting halafu security halafu device administrator halafu angalia kama kuna 360 security then itoe, ikiwezekana un install na hio app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…