CHURADUME Senior Member Joined Jul 18, 2016 Posts 143 Reaction score 126 Mar 3, 2017 #1 Kuna Simu kila wakati inaandika hivi sijui tatizo ninini kwa maana nime jaribu kui restore lakini ime goma mwenye kujua anifahamishe. Nitangulize heshima kwenu
Kuna Simu kila wakati inaandika hivi sijui tatizo ninini kwa maana nime jaribu kui restore lakini ime goma mwenye kujua anifahamishe. Nitangulize heshima kwenu
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,229 Reaction score 44,240 Mar 4, 2017 #2 nenda setting halafu security halafu device administrator halafu angalia kama kuna 360 security then itoe, ikiwezekana un install na hio app
nenda setting halafu security halafu device administrator halafu angalia kama kuna 360 security then itoe, ikiwezekana un install na hio app
GANG MO JF-Expert Member Joined Dec 6, 2016 Posts 2,122 Reaction score 2,263 Mar 4, 2017 #3 Cjayaona vzur hayo maandish. Hebu yaandike
CHURADUME Senior Member Joined Jul 18, 2016 Posts 143 Reaction score 126 Mar 5, 2017 Thread starter #4 GANG MO said: Cjayaona vzur hayo maandish. Hebu yaandike Click to expand... Unfortunately 360 has stopped
GANG MO said: Cjayaona vzur hayo maandish. Hebu yaandike Click to expand... Unfortunately 360 has stopped
2991 JF-Expert Member Joined Feb 3, 2017 Posts 619 Reaction score 628 Mar 6, 2017 #5 uninstall hyo 360 au clear its data